This category has its own page and can be searched independently.
FULL AUTOMATIC FUEL HAND SPRAYER | MASHINE ZA KUPULIZIA DAWA | MOTOR / PETRO KNAPSAC SPRAYER
BEI NI 350,000/= - OFA OFA
Call/Text/WhatsApp: +255 714 63 63 75
@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @joackagrovet @joackanimalclinic @joackbagamoyo
Mashine ina injini maalumu inayotumia petrol, na inauwezo mkubwa kutupa dawa kwenda umbali mrefu.
Hizi mashine ni imara sana tofauti na mashine nyingine, na pump yake ina dumu muda mrefu.
Hizi ndio mashine za kisasa zinazotumika kwenye Kazi za furmigation.
Vipengele vyake vikuu:
1. Tanki la kuhifadhia dawa
Ni la plastiki nyeupe na lina kifuniko cha rangi ya machungwa.
2. Injini ya petroli (2-Stroke Engine)
Inapatikana chini ya tanki, inasaidia katika kusukuma dawa kwa shinikizo kubwa.
3. Mrija na bomba la kunyunyizia.
Ina bomba refu la chuma lenye mpini wa plastiki wa rangi ya machungwa, pamoja na bomba la mpira la rangi ya njano na machungwa.
4. Sehemu za udhibiti.
Ina vipini vya kudhibiti dawa na injini, pamoja na sehemu za kuwasha na kuzima.
5. Tahadhari za usalama.
Kuna vibandiko vya onyo, mojawapo likisema: "DON’T SPRAY AT PEOPLE AND ANIMALS" (Usipulizie watu na wanyama).
Huu mtungi unafaa kwa matumizi ya kilimo, bustani, na kudhibiti wadudu au magonjwa kwenye mazao. Unatumika sana kwa sababu ya uwezo wake wa kupuliza dawa kwa
#handsprayer #sprayer #fuelsprayer #motorsprayer #mashineyafurmigation #mashineyakupuliziadawa #madumuyakupuliziadawa #dawazamifugo #dawazakilimo #viuatilifu #mashineyafurmigation #pestcontrol #petrolknapsacsprayer
Office zetu zipo @tegetawazohill - Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
+255 714 63 63 75 (WhatsApp)
+255 692 43 02 63
Email:
info@joack.co.tz
YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac
Website link: https://joack.co.tz
Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9
#joackcompany #joackvetcenter #mifugotz #mifugo #kilimo #kilimotz #mabandayamifugo #kilimobiashara #ufugajiwanguruwe #kilimochaumwagiliaji #tanzania #tanzania🇹🇿 #dodoma #mwanza #mbeya #morogoro #ufugajikibiashara
JOACK COMPANY LTD | DSM & BAGAMOYO