JOACK ANIMAL FEEDS | SIRI YA MAFANIKIO KWA MFUGAJI!
📞Call/Text/WhatsApp: +255 712 253 102
📍Ofisi zetu zipo: Dar es salaam na Bagamoyo.
@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @afyakiganjani @joackagrovet @joackbagamoyo @joackanimalclinic
Muda wa kazi: Saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku
Je, unatafuta chakula cha mifugo ambacho kitakupa matokeo ndani ya muda mfupi? Joack Animal Feeds ni chaguo namba moja!
Chakula chetu kinatengenezwa kwa umakini mkubwa kwa kutumia mashine za kisasa za kuchanganyia (Industrial Mixers) ili kuhakikisha kila punje ina virutubisho kamili.
Kazi ambazo Joack Animal Feeds inafanya ni:-
✔️Kuongeza uzito wa mifugo kwa haraka na afya.
✔️Kuimarisha mifupa na kuzuia upungufu wa madini.
✔️Kuboresha kiwango cha utagaji na ubora wa mayai.
✔️Kupunguza vifo vya vifaranga na mifugo midogo.
Kwanini uchague Joack Animal Feeds?
✅ Ubora wa Kimataifa: Kimeandaliwa kwa viwango vya hali ya juu vya usafi.
✅ Virutubisho vya Kutosha: Kina mchanganyiko sahihi wa vitamini na protini.
✅ Vifungashio Imara: Magunia yetu ni imara, yanazuia unyevu usiharibu chakula.
✅ Gharama Nafuu: Bei zetu ni rafiki kwa mfugaji mdogo na mkubwa.
✅ Uaminifu: Tunatuma mzigo wako popote Tanzania kwa usalama.
⚠️ Tahadhari: Hakikisha unalisha mifugo yako kulingana na umri na mahitaji yao kama unavyoelekezwa na wataalamu wetu.
Ukichagua JOACK, unachagua:
✓ Ufanisi
✓ Uzalishaji wa juu
✓ Faida inayoonekana
Piga simu: +255 712 253 102
Tembelea: www.joack.co.tz
JOACK COMPANY LIMITED
Transparency. Transformation. Technology
📍 Tembelea ofisi zetu Tegeta – Dar es Salaam au wasiliana nasi moja kwa moja kupitia:
📞 Call/WhatsApp: 0712 253 102
#joackanimalfeeds #lisheyamifugo #kukuchakula #ufugajiwakisasa #tanzania