Loading...
Location Tegeta - Wazohill, Kinondoni, Dar es salaam - Tanzania
+255 (0) 712 253 102 / +255 (0) 692 430 263
Home About Blog Get in touch

TUNAUZA MOTOR MPYA NA KUTENGENEZA MOTOR ZILIZO HARIBIKA | NA KUFANYA REPEAR ZA MASHINE

TUNAUZA MOTOR MPYA NA KUTENGENEZA MOTOR ZILIZO HARIBIKA | NA KUFANYA REPEAR ZA MASHINE


Call/Text/WhatsApp: +255 712 253 102


@joackcompany @mifugo_tz @kilimo_tz @joackagrovet @joackanimalclinic @joackvetclinic 


Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku.


Ofisi zipo: Tegeta Wazohill-DSM na Bagamoyo


Tunauza motor za ukubwa tofauti tofauti, na bei zetu ni nafuu sana.


AINA ZA MOTA NA BEI

BRAND: MOTOR RAYAL

02HP = 300,000

03 HP = 350,000

04 HP = 400,000

05 HP = 450,000

7.5 HP = 700,000

10 Hp = 900,000

25 HP = 1,500,000

30 HP = 1,700,000

40 HP = 2,000,000

50 HP = 3,500,000


1. Uwezo: 5.5HP, 4.1Kw, Speed: 2,840 r/min, 50Hz, 220V, 13.9A, IP 44

Bei yake ni 450,000Tsh


2. Uwezo: 6HP, 4.5Kw, Speed: 2,840 r/min, 50Hz, 220V, 13.9A, IP44.

Bei yake ni 550,000Tsh.


Motor ni spear/kifaa kinacholeta mzunguko kwenye mashine, na motor ndio mashine yenyewe.


Motor inatumika kwenye mashine mbalimbali, mfano; mashine za kusaga na Kuchanganya chakula Cha kuku, mashine za pellet, mashine za kupukuchua mahindi, mashine za kusaga na kukoboa, mashine za kunyoyolea kuku, nk


Licha ya kuuza motor mpya, JOACK tunatengeneza motor zilizo haribika, Kwa hiyo kama una motor imeharibika na haifanyi kazi wasiliana nasi kwajili ya matengezo.


Tunauwezo wa kunasuka motor ndogo hadi motor kubwa na zikawa mpya na imara kabisa, Kuna baadhi ya viwanda tumesha watengenezea motor zao sana, mfano; Twiga Cement tumesha fanya nao kazi nyingi sana.


Mafundi wetu wanauwezo mkubwa sana wa kusuka motor iliyoungua na kuwa mpya kabisa.


#motor #fundimotor #mota #fundimota #watengenezajiwamotor #fundiwamotor #mota #tunauzamota #fundiwamashine #motorrepair #tunauzamotor #motorzakichina #kusukamoto


Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa


Simu:

+255 712 253 102(WhatsApp)

+255 692 43 02 63


Email:

info@joack.co.tz


#joackcompany #mifugo #kilimo #tanzania #kariakoo #tanzaniaweddings #arusha #sido #mwanza #morogoro #tanzania🇹🇿 #mbeya #kilimanjaro #dodoma #kusukamota #mashinezaunga #mashinezakusaga


JOACK CO LTD | DSM NA BAGAMOYO